×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Kenyans for Kenya fundraiser-Swahili

Living
Mashirika mbali mbali ya humu nchini yakiwemo yale ya vyombo vya habari yamehusika katika sherehe maalum ya  kuchangisha fedha kupitia mpango wa kenyan for kenyans. Kwenye hafla ya leo iliyofana takriban  shilingi millioni 255  ziliweza kuchangwa na kufikia leo jioni hazina ya  kenyan for kenyans kufikia iliorodheshwa kuwa imefikisha shilingi zaidi ya shillingi millioni 480 . Huu ukiwa ni mfano mzuri kutoka kwa wakenya waliojitolea kuhakikisha kuwa wenzao kutoka maeneo kame  hawafi njaa kama ilivyoshuhudiwa mwezi uliopita.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles