×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Jitimai la sukari 2

Living
Changamoto za kuimarisha kiwango cha sukari humu nchini ikiwemo wenye viwanda kuhitajika kuwekeza kwenye teknolojia pamoja na kubinafsisha viwanda vyao ni mojawapo ya malalamishi ya yanayowakera pakubwa wakulima wa miwa. Aidha wakulima wanalalamikia kukandamizwa na hatua ya makampuni ya kusaga sukari kukosa kutii sheria zinalinda maslahi ya wakulima kama vile kuhitajika kupima uzani wa miwa shambani punde baada ya kukatwa badala ya kufanya hivyo katika kiwanda. Kwa mengi zaidi huyu hapa Isabella Kituri katika jitimai la sukari sehemu ya pili.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles