×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Kisumu idp treks - swahili

Living
Muathiriwa wa ghasia za uchaguzi za mwaka wa 2008 ameanzisha matembezi kutoka mjini kisumu hadi mombasa ili kuchangisha fedha za kumpa makao mapya. Charles kivondo amechukua jukumu hilo la kutembea kutoka kisumu hadi mombasa akitarajiakwamba atachangisha fedha za kumuwezesha kupata makao mapya mjini muhoroni alikokuwa akiishii kabla ya ghasia za baada ya uchaguzi. Kivondo ambaye amekuwa akiishi kwenye nyumba ya mabanda amesema kuwa matembezi yake yananuia kuchangisha fedha za kulipa madeni anayodaiwa na mabenki tofauti. Akiwa amevalia mavazi yaliyoshonwa kwa bendera ya kenya kivondo alisema kuwa mavazi hayo yanaleta maana ya umoja na kuwataka wakenya kuishi kwa amani na kujiuepusha na ghasia zinazochochewa na wanasiasa

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles