×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Nyama Ya Punde Kayole

Living

Kuna hofu kuu miongoni mwa wakaazi wa jiji la Nairobi kwamba nyama wanayoila wakidhani ni ya ngombe huenda ni ya punda. Baada ya lalama za wenye punda kadhaa kwamba mifugo wao wanapotea wasijue wanakwenda wapi, sasa jawabu limeanza kujitokeza. Hii leo vichwa vya punda wanne vimepatikana katika eneo la mihang’o ishara kwamba wamechinjwa na nyama kupelekwa katika bucha kuuzwa kama nyama inayopaswa kuliwa na binadamu.Kiini cha hofu hapa ni kwamba ni kwa wiki jana tu ambapo kisa sawa na hicho kilishuhudiwa maeneo ya Kitengela.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles