Kuna hofu kuu miongoni mwa wakaazi wa jiji la Nairobi kwamba nyama wanayoila wakidhani ni ya ngombe huenda ni ya punda. Baada ya lalama za wenye punda kadhaa kwamba mifugo wao wanapotea wasijue wanakwenda wapi, sasa jawabu limeanza kujitokeza. Hii leo vichwa vya punda wanne vimepatikana katika eneo la mihang’o ishara kwamba wamechinjwa na nyama kupelekwa katika bucha kuuzwa kama nyama inayopaswa kuliwa na binadamu.Kiini cha hofu hapa ni kwamba ni kwa wiki jana tu ambapo kisa sawa na hicho kilishuhudiwa maeneo ya Kitengela.
Nyama Ya Punde Kayole
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Why more people are choosing communal healing
- 10 amazing tips on how to share house chores between a couple
- Shattered childhoods, unbroken voices: The relentless fight against defilement
- Ahmed Darwesh’s widow recounts former newscaster’s last days
- Memoirs of a scribe
- Mandera student makes history by scoring the first A
- Countering stereotypes about Africa-Zain’s journey from CNN to queen of creative content
- 'Harmless' swelling turned out to be cancer
- Nairobi’s Florida franchise restructures
- Preventing and healing stretch marks
.
Popular this week
- Why more people are choosing communal healing
- How could something so special fall apart?
- How feelings of awe can benefit mental health
- Easy recipe: Samaki wa kukaanga
- Paula Kahumbu honoured at National Geographic Museum for lifetime conservation work
- Why Unilever is stopping the use of “normal” on its products
- Five ways to motivate yourself every day
- Who cares if you’ve slept with all women!
- I came back from UK to discover my wife left me
- Navigating fatherhood, five must-know tips for first time dads
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.