Maisha ya aliyekuwa afisa mkuu wa polisi Mohammed Jarso Godana imo hatarini siku moja tu baada ya kupasua mbarika kuhusiana na wahusika katika sakata ya ulanguzi wa madawa ya kulevya mjini Mombasa. Mohammed Jarso Godana afisa chapa kazi aliachishwa kazi baada ya kuzuia konteina elfu tatu iliyokuwa ikibeba dawa za kulevya aina ya cocaine. Hapo jana afisa huyo alifanikiwa kuwasilisha cheti cha siri mkikononi mwa mbunge wa Imenti ya kati Gitobu Imanyara kulijadili bungeni inayowataja wahusika wakuu miongoni mwao maafisa wakuu wa usalama. Hata hivyo msemaji wa polisi Eric Kiraithe amepuuzilia mbali taarifa hizo na kuzitaja kama finyu na za kupotosha.
Ufichuzi Wa Dawa Za Kulevya Bungeni
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Contraception is safe for men and women, so don't shy away from them
- Confessions: My husband went behind my back and married his employee as second wife
- Elevate your holiday look with Christmas accessories
- Why some women experience heavy menstruation
- How Bondo's thrilling nightlife experience awakened Siaya
- Cocktail bar: The Beach
- How UK's first Black TV reporter blazed trail - and even interviewed Saddam Hussein
- Kenya features in Anthony Bourdain's last season of Parts Unknown
- Nerima Wako: The political analyst with beauty and brains
- 'My family tease my baby because her name accidentally sounds like a pasta dish'
.
Popular this week
- Handling freedom anxiety in children during school holidays
- Cocktail bar: The Beach
- From boot camps to academic tyrant: Ten types of parents during school holidays
- Step outside: The surprising health benefits of time in nature
- Impotent man to pay wife Sh10m for trapping her in sexless marriage
- Child protector who grew up amid intense gunfire
- Why many mothers feel burnt out and how boundaries can help
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Cocktail bar: Lamu Tamu
- Woman has worn same dress for 100 days - and vows never to buy clothes again
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.