Maisha ya aliyekuwa afisa mkuu wa polisi Mohammed Jarso Godana imo hatarini siku moja tu baada ya kupasua mbarika kuhusiana na wahusika katika sakata ya ulanguzi wa madawa ya kulevya mjini Mombasa. Mohammed Jarso Godana afisa chapa kazi aliachishwa kazi baada ya kuzuia konteina elfu tatu iliyokuwa ikibeba dawa za kulevya aina ya cocaine. Hapo jana afisa huyo alifanikiwa kuwasilisha cheti cha siri mkikononi mwa mbunge wa Imenti ya kati Gitobu Imanyara kulijadili bungeni inayowataja wahusika wakuu miongoni mwao maafisa wakuu wa usalama. Hata hivyo msemaji wa polisi Eric Kiraithe amepuuzilia mbali taarifa hizo na kuzitaja kama finyu na za kupotosha.
Ufichuzi Wa Dawa Za Kulevya Bungeni
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Why many mothers feel burnt out and how boundaries can help
- The torturous journey of infertility
- KDF Army boss Ngondi visits troops in Kismayu, urges professionalism
- Why millennials are struggling to save
- Why chasing a "stress-free" life is making you more anxious
- Reasons your man has delayed ejaculation
- Why you should reconsider dating a ‘sponsor’ and date from your age group instead
- "Fame is sweet, divorce isn't" One FM presenter Paul Mbuvi opens up
- Why you should worry when you miss your period
- Everyday habits that wrinkle your skin
.
Popular this week
- Transform your bedroom into a sleep sanctuary
- How to style chunky rings for a modern, effortless look
- Why many mothers feel burnt out and how boundaries can help
- Return of 'analogue hobbies' in a digital age
- 'I live for myself': Why Ainam Chamere Ashley chose tubal ligation at 24
- Even parents need refresher courses
- How to help children process the bias they hear in public
- Stress at work after the maternity leave
- Am I dating someone or walking on eggshells?
- Woman who 'can see dead people' reveals her powers helped save her own daughter's life
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.