Maisha ya aliyekuwa afisa mkuu wa polisi Mohammed Jarso Godana imo hatarini siku moja tu baada ya kupasua mbarika kuhusiana na wahusika katika sakata ya ulanguzi wa madawa ya kulevya mjini Mombasa. Mohammed Jarso Godana afisa chapa kazi aliachishwa kazi baada ya kuzuia konteina elfu tatu iliyokuwa ikibeba dawa za kulevya aina ya cocaine. Hapo jana afisa huyo alifanikiwa kuwasilisha cheti cha siri mkikononi mwa mbunge wa Imenti ya kati Gitobu Imanyara kulijadili bungeni inayowataja wahusika wakuu miongoni mwao maafisa wakuu wa usalama. Hata hivyo msemaji wa polisi Eric Kiraithe amepuuzilia mbali taarifa hizo na kuzitaja kama finyu na za kupotosha.
Ufichuzi Wa Dawa Za Kulevya Bungeni
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Old School: Where Sophia Wanuna and Shiks Kapienga waded in mud
- Baby trap: When a man becomes an unwilling father
- Things to consider before moving in together
- Good etiquette serves as a guiding light in the workplace
- Is Joshua Oigara the next Stanbic Bank Kenya CEO?
- The fashion frontier of 2025
- Beef steak with cherry tomatoes and rosemary
- I quit nursing and found my passion in décor
- Easy recipe: Homemade tallow
- Why avoiding 'the fidelity talk' sets couples up for heartbreak
.
Popular this week
- How to financially empower the mothers in your life
- How to truly honour a mother beyond words and gifts
- Beef steak with cherry tomatoes and rosemary
- Why is it so hard for me to just relax around people?
- A mother's journey through career, caregiving and balance
- How focus and creativity shaped Ayako's animation career
- Easy recipe: Watermelon and strawberry chamoyada
- Last-minute travel tips for singles and couples
- Cocktail bar: The monkey shoulder
- Black tax trap: When family obligation leads to emotional and financial burnout
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.