Maisha ya aliyekuwa afisa mkuu wa polisi Mohammed Jarso Godana imo hatarini siku moja tu baada ya kupasua mbarika kuhusiana na wahusika katika sakata ya ulanguzi wa madawa ya kulevya mjini Mombasa. Mohammed Jarso Godana afisa chapa kazi aliachishwa kazi baada ya kuzuia konteina elfu tatu iliyokuwa ikibeba dawa za kulevya aina ya cocaine. Hapo jana afisa huyo alifanikiwa kuwasilisha cheti cha siri mkikononi mwa mbunge wa Imenti ya kati Gitobu Imanyara kulijadili bungeni inayowataja wahusika wakuu miongoni mwao maafisa wakuu wa usalama. Hata hivyo msemaji wa polisi Eric Kiraithe amepuuzilia mbali taarifa hizo na kuzitaja kama finyu na za kupotosha.
Ufichuzi Wa Dawa Za Kulevya Bungeni
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Wendy Kimani: Good vibes, grit and a voice that endures
- Are painful periods normal? When you should see a doctor
- From roses to cash: Valentine's Day now takes a financial turn
- Sperm donation safety: What you must know before choosing a donor
- Easy recipe: Beef chuck rice combo
- Confessions: I gave my neighbour’s teenage daughter more than a lift to town
- Your body knows how to detox and here's how to help it naturally
- From earning peanuts to building mansions
- Easy recipe: Sim sim bread
- How to satisfy your wife in bed
.
Popular this week
- Your body knows how to detox and here's how to help it naturally
- Wendy Kimani: Good vibes, grit and a voice that endures
- Cocktail bar: Salted caramel pecan sour
- Easy recipe: Vegetable fried eggs
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- To quit or not to quit: Signs you are ready for a career move
- What your smartphone says about you
- How to survive the post-holiday slump
- Can a man say no? Men and their right to consent
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.