×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Ujumbe Wa ICC

Living

Kiongozi wa mashtaka katika mahakama ya ICC Louis Moreno Ocampo amesema kwamba atawataja watu sita miongoni mwao viongozi wa ODM na PNU na hata wafanyibiashara ifikapo mwezi ujao kwa kuhusika na ghasia za baada ya uchaguzi mkuu uliopita.Aidha Ocampo amesema mahakama ya icc itahakikisha hatua kali zimechukluliwa dhidi ya wale waliopanga vita hivyo vilivyopelekea vifo vya watu takriban 1300 na zaidi ya nusu milioni kukosa makao. Vilevile akaongezea kwamba wanasiasa walioenda Hague hawatozuia mahakama hiyo kufanya uchunguzi huru dhidi ya ghasia hizo .

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles