Kiongozi wa mashtaka katika mahakama ya ICC Louis Moreno Ocampo amesema kwamba atawataja watu sita miongoni mwao viongozi wa ODM na PNU na hata wafanyibiashara ifikapo mwezi ujao kwa kuhusika na ghasia za baada ya uchaguzi mkuu uliopita.Aidha Ocampo amesema mahakama ya icc itahakikisha hatua kali zimechukluliwa dhidi ya wale waliopanga vita hivyo vilivyopelekea vifo vya watu takriban 1300 na zaidi ya nusu milioni kukosa makao. Vilevile akaongezea kwamba wanasiasa walioenda Hague hawatozuia mahakama hiyo kufanya uchunguzi huru dhidi ya ghasia hizo .
Ujumbe Wa ICC
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- How to report a superior without risking your job
- Do you have one? Girlfriends who can't stop borrowing
- Select, groom your successor early
- Maximalism: The more the merrier
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Prosecutors seek 8-year prison term for Shakira
- Why is my boyfriend taking so long to propose?
- Wendy Kimani: Good vibes, grit and a voice that endures
- Langata's low-rise boom is redefining Nairobi's residential landscape, shaping future of suburban living
- How to get your child to talk more openly
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Elevate your graphic T-shirt into a fashion statement
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Coffee farmers double earnings with Kenya’s first direct export
- Eight beauty benefits of eating watermelon
- Fashion Friday Inspo: Joyce Omondi Waihiga, elegance and grace
- How to report a superior without risking your job
- Meet Africa’s first female Dreamliner captain Irene Koki, set to fly President Uhuru in KQ’s inaugural US flight
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.