Katika taarifa ya kutatanisha kutoka Nairobi ni kwamba kwa wiki moja mfululizo watoto wawili wamefariki katika siku tofauti katika shule moja inayojulikana kama Buruburu 1 , aidha kulingana na uchunguzi wetu ni kwamba wanafunzi hao wanadaiwa kuzama katika dimbwi la kuogelea maarufu kama “swimming pool” walipokuwa wakiogelea.Mmoja ya watoto hao alikumbana na mauti yake siku ya ijumaa na ilhali mwengine akifariki siku ya jumamosi.Hata hivyo wakuu wa shule hiyo kamwe hawakutaka kuzungumzia kuhusu kidimbwi hicho ambacho kimekuwa mtego wa mauti na kuibua swala je nini haswa kinachoendelea katika shule hiyo? kwani ilibidi wanahabari wa KTN kuandamana na OCS ndiposa tufunguliwe mlango unaoelekea kwenye kidimbwi cha shule kinachoonekana kuwa tiketi ya mauti kwa vijana walio na mazoea ya kuogelea
Kidimbwi Cha Mauti
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Four diseases you can contract from making out
- Archie is the spitting image of his dad Prince Harry when he was a baby
- Easy recipe: Oats with chia seeds
- Homeless to household name: Why I’m optimistic about ‘Twendi Twendi’
- Ten types of Kenyan house helps you will encounter
- The lawyer who sells sex toys
- Musk threatens to boot Twitter account impersonators
- Cocktail bar: Kifaru mtamu
- Do men really gossip more than women?
- The pain of being a deaf mother in Kenya
.
Popular this week
- Beating the January money crunch with smarter spending habits
- Sexy outfit ideas you should try when staying at home
- Help! My baby's stool has blood
- I specialise in helping people sleep
- Include weight-lifting in your daily workouts to boost your longevity
- 5 things women do when they are cheating
- Ladies, vaginal douching is a bad idea; stop doing it
- Twin brothers' wish to join same national school comes true
- Revealed: 47 people linked to Sh30b fraud in the US bought luxury cars, property in Kenya
- Everything you need to know about broken heart syndrome
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.