Katika taarifa ya kutatanisha kutoka Nairobi ni kwamba kwa wiki moja mfululizo watoto wawili wamefariki katika siku tofauti katika shule moja inayojulikana kama Buruburu 1 , aidha kulingana na uchunguzi wetu ni kwamba wanafunzi hao wanadaiwa kuzama katika dimbwi la kuogelea maarufu kama “swimming pool” walipokuwa wakiogelea.Mmoja ya watoto hao alikumbana na mauti yake siku ya ijumaa na ilhali mwengine akifariki siku ya jumamosi.Hata hivyo wakuu wa shule hiyo kamwe hawakutaka kuzungumzia kuhusu kidimbwi hicho ambacho kimekuwa mtego wa mauti na kuibua swala je nini haswa kinachoendelea katika shule hiyo? kwani ilibidi wanahabari wa KTN kuandamana na OCS ndiposa tufunguliwe mlango unaoelekea kwenye kidimbwi cha shule kinachoonekana kuwa tiketi ya mauti kwa vijana walio na mazoea ya kuogelea
Kidimbwi Cha Mauti
Living
By | 13 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Shame made me marry the man who raped me
- When girls lie about nonexistent boyfriends
- How to unclog your home sink
- Another surprise as Morocco holds Croatia 0-0 at World Cup
- How to tell what kind of a lover he is
- Do you need to shower every day?
- Recipe: Creamy fish pasta
- Easy recipe: Rib-eye steak
- Benefits of chewing gum
- Are women secretly attracted to 'bad boys'?
.
Popular this week
- Benefits of chewing gum
- Do you need to shower every day?
- Easy recipe: Rib-eye steak
- Benefits of taking peaches
- Shame made me marry the man who raped me
- When girls lie about nonexistent boyfriends
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Dating then was very different from what it is now
- I'm into him, but he does not notice me
- Another surprise as Morocco holds Croatia 0-0 at World Cup
.
Similar Articles
.