Katika taarifa ya kutatanisha kutoka Nairobi ni kwamba kwa wiki moja mfululizo watoto wawili wamefariki katika siku tofauti katika shule moja inayojulikana kama Buruburu 1 , aidha kulingana na uchunguzi wetu ni kwamba wanafunzi hao wanadaiwa kuzama katika dimbwi la kuogelea maarufu kama “swimming pool” walipokuwa wakiogelea.Mmoja ya watoto hao alikumbana na mauti yake siku ya ijumaa na ilhali mwengine akifariki siku ya jumamosi.Hata hivyo wakuu wa shule hiyo kamwe hawakutaka kuzungumzia kuhusu kidimbwi hicho ambacho kimekuwa mtego wa mauti na kuibua swala je nini haswa kinachoendelea katika shule hiyo? kwani ilibidi wanahabari wa KTN kuandamana na OCS ndiposa tufunguliwe mlango unaoelekea kwenye kidimbwi cha shule kinachoonekana kuwa tiketi ya mauti kwa vijana walio na mazoea ya kuogelea
Kidimbwi Cha Mauti
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Simple habits that boost daily productivity
- Are women their own worst enemies?
- 10 old skul slang names for money
- Nyeri onion farmers protest skewed market
- Redefining society’s rules: Women show off unshaved armpits as they embrace natural beauty
- Why strong women may not enjoy marriage
- Why she has not slept with you yet
- Watch Lupita Nyong'o celebrate Faith Kipyegon's victory at Athlos NYC meet
- Do you know your bra size or are you still wearing 34B out of habit?
- Cocktail bar: Kifaru mtamu
.
Popular this week
- Do you know your bra size or are you still wearing 34B out of habit?
- Why waiting to get sick is a risk we can't afford
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Is "camera culture" killing our children's dignity?
- Wunmi Mosaku makes history as first black British woman to win BAFTA for supporting actress
- Simple habits that boost daily productivity
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- Is your partner speaking your love language?
- How to raise financially confident children
- Why maroon is the new neutral you need in your closet
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.