×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Kidimbwi Cha Mauti

Living

Katika taarifa ya kutatanisha kutoka Nairobi ni kwamba kwa wiki moja mfululizo watoto wawili wamefariki katika siku tofauti katika shule moja inayojulikana kama Buruburu 1 , aidha kulingana na uchunguzi wetu ni kwamba wanafunzi hao wanadaiwa kuzama katika dimbwi la kuogelea maarufu kama “swimming pool” walipokuwa wakiogelea.Mmoja ya watoto hao alikumbana na mauti yake siku ya ijumaa na ilhali mwengine akifariki siku ya jumamosi.Hata hivyo wakuu wa shule hiyo kamwe hawakutaka kuzungumzia kuhusu kidimbwi hicho ambacho kimekuwa mtego wa mauti na kuibua swala je nini haswa kinachoendelea katika shule hiyo? kwani ilibidi wanahabari wa KTN kuandamana na OCS ndiposa tufunguliwe mlango unaoelekea kwenye kidimbwi cha shule kinachoonekana kuwa tiketi ya mauti kwa vijana walio na mazoea ya kuogelea

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles