Zikisalia chache kabla ya wenyeji wa maeneo ya starehe, Juja na Makadara kuelekea debeni kwa chaguzi ndogo za maeneo hayo, mtazamaji hii leo tunapigia darubini eneo bunge la Juja ambalo linaonekana kukabiliwa na changamoto si haba kuambatana na maendeleo.ni eneo linalotambulika kwa rotuba yake na historia ya kuwa jiji la viwanda, lakini kinachoibuka ni kwamba baadhi ya viwanda vimesambaratika na hivyo kuacha wengi bila ajira.Jee tatizo limekuwa wapi?na jee wenyeji wanatafuta kiongozi wa aina gani?
Kinyanganyiro Juja
Living
By | 13 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Wellness: Is online therapy worth it?
- Susan Nakhumicha banking on vast experience in health
- Motor dealer Simba set to rev up hotel industry
- Don't let stress sabotage your children's diet
- I'm into him, but he does not notice me
- Dating then was very different from what it is now
- How to tell what kind of a lover he is
- Don't let stress sabotage your children's diet
- A mother's joy, pain in raising a child with cerebral palsy
- 5 Signs that you're dating an immature man.
.
Popular this week
- Don't let stress sabotage your children's diet
- I'm into him, but he does not notice me
- Dating then was very different from what it is now
- Benefits of taking peaches
- Wellness: Is online therapy worth it?
- How to tell what kind of a lover he is
- Recipe: Creamy fish pasta
- How to unclog your home sink
- Her man, their property and the other woman
- Easy recipe: Delicious Naan
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.