×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Kinyanganyiro Juja

Living

Zikisalia chache kabla ya wenyeji wa maeneo ya starehe, Juja na Makadara kuelekea debeni kwa chaguzi ndogo za maeneo hayo, mtazamaji hii leo tunapigia darubini eneo bunge la Juja ambalo linaonekana kukabiliwa na changamoto si haba kuambatana na maendeleo.ni eneo linalotambulika kwa rotuba yake na historia ya kuwa jiji la viwanda, lakini kinachoibuka ni kwamba baadhi ya viwanda vimesambaratika na hivyo kuacha wengi bila ajira.Jee tatizo limekuwa wapi?na jee wenyeji wanatafuta kiongozi wa aina gani?

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles