×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Vijana Wenye Amani

Living

Ikisalia siku kumi na mbili kabla ya kura ya maoni kufanyika swala la amani kufikia sasa ndilo lipo kwenye midomo ya wengi Hususan wakati huu ambapo tahadhari imetolewa na tume zenye kushughulikia agenda ya nne .Hata hivyo katika kitongoji duni cha Kibera sehemu mmoja iliyokumbwa na ghasia za baada ya uchaguzi  vijana waliotwikwa jukumu la kuwa mabalozi wa amani wameanza shughuli ya kuhamasisha vijana wenzao kuhusiana na hasara ya vita na kujihadhari na wanasiasa wenye uchochezi wakati huu wa kampeini na hata wakati wa kura ya maoni zipora karani na taarifa hio kwa kina.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles