Tarehe 17 mwezi mei itakuwa kwenye kumbukumbu ya wengi haswa wakaazi wa likoni eneo la Mombasa, ni siku ambayo juhudi za polisi kukabiliana na majambazi zioliwaacha wenyeji na makovu na majonzi, hii ni baada ya baadhi ya wenyeji hao kujeruhiwa kwa risasi wakati polisi walipokuwa wakikabiliana na majambazi…..wengi wamejipata vilema na sasa wamekuwa mzigo mkuu kwa familia zao zilizokuwa zikiwategemea kwa riziki. Na sasa wanauliza mbona polisi wakafanya hivyo, je azimio lao lilikuwa kuwanasa majambazi au kuwaacha raia na makovu wasiyostahili?
Shutuma Kwa Polisi
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Master the art of host gifting this festive season
- Will this baby bring us together or push him away?
- Build a strong financial safety net for emergencies today
- I won't pay for baby girl who resembles another man - Senator Mutula Kilonzo Junior
- CS Machogu directs qualifications authority to protect credibility of academic papers
- Get over your ex today
- International Women's Day: Trailblazers who aimed for nothing short of stars
- Kenyan student engineers benefit from training in China
- 5 tips to attending campus parties that could save your life
- Masauti, Brandy Maina to headline Jamhuri fete
.
Popular this week
- What you need to know about the new anti-HIV jab
- Cocktail bar: Mango Margarita
- How to rebuild connection after letting others down
- I've waited for this ring for years, now what?
- Lilian Ng'ang'a opens up on dating history: "I have always had a boyfriend"
- Biscoff Swahili kaimati
- Is celebrated gospel artist Mary Atieno facing domestic negligence from her husband?
- Tired of being dismissed? When to speak up for yourself
- Parents, are you raising a bisexual daughter unknowingly? Here is how to know
- Why this school holiday is your best chance to reconnect with your child
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.