×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Jumui Ya Afrika Mashariki

Living

Baada ya ngoja ngoja sasa azimio la kuwa na soko huru la nchi za Afrika Mashariki litatimia kuanzia usiku wa leo. Sasa wanabiashara kutoka nchi hizi wataweza kuvuka mipaka kwa njia huru kufanya biashara na kuinua uchumi wa afrika mashariki. Hata hivyo hatua hizi zinatarajiwa kuimarishwa polepole hasa ikikumbukwa kuwa muungano wa Afrika Mashariki uliokuwepo ulivunjiliwa mbali kwasababu ya changamoto kadhaa. wengi wanasubiri kwa hamu kuona ni vipi mwingiliano huu wa kibiashara utakuwa.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles