×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Lembus Forest Conservation receives boost

Living

Juhudi za kuhifadhi mojawapo ya misitu ya humu nchini katika eneo la Koibatek unaendelea. Msitu huo ulio na idadi kubwa ya miti ya kiasili na ile ya kale ulipokea shilingi millioni 28.4 kutoka kwa wakfu wa kijamii wa Maendeleo Trust Fund kwalengo la kuboresha mazingira hasa baada ya miti kadhaa kukatwa kiholela. Usimamizi wa fedha hizo ulitolewa kwa mradi wa Lembus utakaowaleta pamoja wadau husika na jamii kwa ujumla lengo kuu ikiwa ni kuhifadhi mazingira.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles