Gumzo la GMO; Azimio yamkosoa Hasla | Gumzo la Wiki Podcast
Published Oct. 14, 2022
00:00
00:00

GMO imezua gumzo, Azimio wakipinga. Kalonzo naye anasema Rais Ruto analenga kuangamiza kilimo cha mimea ya kiasili. Mbali na hayo, unadhani kwamba Kalonzo anatoshea viatu vya Odinga katika upinzani? Baba naye angali anamlaumu Chebukati na mataifa ya kigeni, kwamba yaliingilia uchaguzi wa Kenya! Unasemaje? Si hayo tu, Azimio inasema Ruto amekuwa kiguu na njia, bila kwanza kutimiza ahadi kwa Wakenya. Nawe unatathmini vipi utendakazi wa Ruto ndani ya siku 30 tangu kuapishwa? Wanahabari wetu William Omasire wa Nyamira, Edwin Mbugua wa Nyeri, Clinton Ambujo wa Kisumu na Martin Ndiema wa Trans Nzoia wanasema na wananchi.