Gumzo la Wiki Podcast: Mawe Kondele; Ruto alaumiwa
Published Nov. 14, 2021
00:00
00:00

Naibu wa Rais William Ruto abebeshwa lawama kuhusu vuruga za Kondele. Je, vuruguzu hizo zilichochewa kisiasa anavyodai? Na je, Ruto alifanya makosa kumshtumu Odinga katika ngome yake? Adha, Wakenya wanahisi kwamba Kalonzo Musyoka amekosa mwelekeo na wakati umefika kwake kutangaza wazi msimamo wake wa kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu ujao. Vilevile, Nick Mwendwa atakiwa kueleza jinsi amekuwa akiendesha shughuli za FKF. Wanahabari wetu, John Mbuthia wa Nyeri, Washington Onyango wa Kisumu na Moses Kiraese wa Pokot Magharibi wameshiriki gumzo na Wakenya kuhusu masuala haya.