×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Kenyatta akutana na Ruto katika Ikulu

Living

Rais Mteule William Ruto amekutana na Rais anayestaafu Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Nairobi.

Ruto ameandamana na mkewe Bi. Rachael Ruto kwenye mkutano ambao pia unahudhuriwa na mke wa Uhuru Bi. Margaret Kenyatta.

Mkutano huu unajiri siku moja tu kabla kuapishwa kwa Ruto kuwa Rais wa 5 akiwa na miaka 55.

Ruto ataapishwa Jumanne kwenye hafla itakayohudhuriwa na zaidi ya viongozi 20 wa mataifa mbalimbali.

Aidha, ujumbe wa Marekani na Uingereza utahudhuria kuapishwa kwa Ruto.

Rais Kenyatta anatarajiwa kumkabidhi rasmi mrithi wake mikoba ya uongozi.

Hafla hiyo itafanywa katika Uwanja wa Michezo wa Moi Kasarani.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles