×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

Watu 11 wauliwa Namariat, Turkana

Living

Takriban watu 11 wakiwamo maafisa wa polisi, wameripotiwa kuuliwa usiku wa kuamkia Jumapili na wahalifu wenye silaha kali katika tukio la wizi wa mifugo, huko Namariat, Turkana Mashariki katika kaunti ya Turkana.

Walioliwa ni maafisa wanane wa polisi, chifu wa eneo la Lepeito na wanakijiji wawili wa Namariat.

Msemaji wa polisi Bruno Shioso, amesema maafisa wa polisi waliouliwa walikuwa wakiwafuatilia majangili waliojihami kwa silaha kali, ambao walikuwa wamekivamia kijiji cha Namariat na kuiba idadi kubwa ya mifugo.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles