×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Gari la Jaguar kuhusika wa ajali

Living

Gari la Jaguar kuhusika wa ajali

Jaguar yupo matatani sasa baada ya gari lake kuhusika kwenye ajali ya barabaarani July 11,2017.

Gari lake hilo la msanii mwanasiasa anayewania nafasi ya ubunge kwenye eneo bunge la Starehe Nairobi, limesajiliwa kwa namba KBX 808J lilihusika kwenye mkasa huo wakati dereva alipokuwa akitumia simu ya mkononi wakati wakiwa kwa kampeni. Baada ya ajali hio dereva ametokomea na anasakwa na maafisa wa polisi kutona na kuharibu gari la Rose Masoni. Kesi imerekodiwa Industrial Area police station under OB/41/13/7/2017.

-Na MkazivaeUNIT

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles