×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Isaack Hassan Amshtaki Mhasibu Mkuu wa Serikali

Living

Na Sophia Chinyezi

Hatimaye Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC Isaack Hassan ametekeleza tishio lake la kumshtaki Mhasibu Mkuu wa Serikali, Edward Ouko kufuatia ripoti yake maalumu kuhusu ununuzi wa vifaa vya kupigia kura kwa njia ya elektroniki - BVR wakati wa uchaguzi wa mwaka 2013.

Hassan amerejea katika Mahakama Kuu kulalamika kwamba Ouko hakufuata maagizo aliyopewa na Jaji Isaac Lenaola mwaka mmoja uliopita, kumtaka aondoe sehemu ya ripoti hiyo ambayo inamhusisha na sakata hiyo. Hassan anamtaka Jaji Lenaola kumshinikiza Ouko kuwasilisha ripoti iliyofanyiwa marekebisho kwa Kamati ya Bunge ya Uhasibu na kufafanua ni kwa nini anahisi kwamba hafai kushtakiwa kwa kukiuka agizo la mahakama.

Jaji Lenaola amempa Ouko hadi Julai 19 kujibu mashtaka hayo.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles