Baada ya kuangazia wanaume waliojitokeza hapo jana katika makala ya kwanza ya kisunzi cha ndoa na kukiri kudhulumiwa na wake zao,suala kuu linalojitokeza ni kuwepo kwa matatizo ya kijamii yanayotishia umoja wa ndoa na uwiano wa mume na mke. Kusambaratika kwa jamii kukionekana dhahiri kwani wanaume wengi katika mkoa wa kati wameingilia pombe aidha kusahau shida zao. Wengine hata hivyo wanahisi kuwa serikali kupitia wizara ya jinsia imesahau wanaume na kuwainua sana wanawake kiuchumi ilhali wote waume na wake wana matatizo ya kiuchumi.
Kisunzi cha ndoa part 2
Living
By | 12 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Do you need to shower every day?
- Benefits of chewing gum
- Recipe: Creamy fish pasta
- Raising a brat: Is this a case of new age parenting?
- Benefits of taking peaches
- Dates are full of energy, nutrients
- Photos: Serena Williams’ adorable daughter watches superstar mum in action months after delivery
- Are you due for a life audit?
- Signs you may be suffering from subtle depression
- Opinion: Let's prioritise girls' voices in decision-making processes
.
Popular this week
- Benefits of chewing gum
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- Benefits of taking peaches
- Do you need to shower every day?
- Why Kenyan women now want to be second wife
- Dating then was very different from what it is now
- I'm into him, but he does not notice me
- Why Kenyan women should embrace Samantha the robot of pleasure
- When girls lie about nonexistent boyfriends
- Steps you can take to help you start a business
.
Similar Articles
.