Baada ya kuangazia wanaume waliojitokeza hapo jana katika makala ya kwanza ya kisunzi cha ndoa na kukiri kudhulumiwa na wake zao,suala kuu linalojitokeza ni kuwepo kwa matatizo ya kijamii yanayotishia umoja wa ndoa na uwiano wa mume na mke. Kusambaratika kwa jamii kukionekana dhahiri kwani wanaume wengi katika mkoa wa kati wameingilia pombe aidha kusahau shida zao. Wengine hata hivyo wanahisi kuwa serikali kupitia wizara ya jinsia imesahau wanaume na kuwainua sana wanawake kiuchumi ilhali wote waume na wake wana matatizo ya kiuchumi.
Kisunzi cha ndoa part 2
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Breaking free from parent-child trauma bonding
- How to raise financially confident children
- We'll pay you soon, CS Owalo to media houses on advert debts
- Why radio personality Olivia Otieno believes her mouth is her most annoying habit
- Easy recipe: Sri Lankan fried chicken
- Introducing Pamela Mboya: Late wife to the legendary Tom Mboya
- Easy recipe: A treat for your eyes and tummy
- 8 weird measures women use to keep their hubbies
- SweetTB drugs: How Kenya is putting an end to child TB
- How to make your home an art gallery
.
Popular this week
- Why do I always fall in love with men who break my heart?
- Is "camera culture" killing our children's dignity?
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- How to raise financially confident children
- Cocktail bar: Creamy Rhubarb and custard delight
- Will this baby bring us together or push him away?
- 12 signs the man you dating is definitely a jerk
- Men, stop bragging: Here are 9 signs you're terrible in bed
- Robbery with violence suspect arrested in Huruma
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.