×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Kenya Sudan Diplomatic row Kisw

Living

Mzozo wa kidiplomasia kati ya kenya na sudan unatokota. Leo khartoum imempa balozi wa kenya nchini humo saa 72 kuondoka nchini humo, na kumuita nyumbani balozi wake mara moja. Khartoum imeghadhabishwa na agizo la jana la mahakama kuu kuwa bashir anayesakwa na mahakama ya icc, akikanyaga humu nchini atiwe nguvuni. Khartoum bungeni mbunge wa kirinyaga Joseph Gitari ameitaka wizara ya mambo ya nje kuwahakikishia wakenya wanaoishi sudan kuwa wako salama kufuatia mzozo huu. Kenya amekuwa mshirika mkuu wa sudan tangu kutoa mchango mkuu kupatikana kwa ule mkataba wa amani kati ya kusini na kaskazini, na hatimaye sudan kusini kuwa taifa huru.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles