×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Bangh ban protest in California

Living

Mtazamaji ebu tafakari, jee ingekuwaje iwapo serikali ingeamua kufungua zahanati ambazo zinatoa mihadarati kama vile bangi kwa wagonjwa walio na maumivu makuu kutokana na amgonjwa mbalimbali? Bila shaka ni pendekezo ambalo wengi hawawezi kubaliana nalo hasa ikizingatiwa kampeni zinazoendelezwa dhidi ya matumizi ya mihadarati nchini.lakini hali sivyo katika jimbo la California ambamo kliniki zimefunguliwa zinazopeana bangi kwa wagonjwa kwa lengo la kutuliza maumivu.hata hivyo baadhi ya waraibu wa mihadarati wanadaiwa kutumia mwanya huu kukata kiu chao kupitia maumivu bandia.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles