Mtazamaji ebu tafakari, jee ingekuwaje iwapo serikali ingeamua kufungua zahanati ambazo zinatoa mihadarati kama vile bangi kwa wagonjwa walio na maumivu makuu kutokana na amgonjwa mbalimbali? Bila shaka ni pendekezo ambalo wengi hawawezi kubaliana nalo hasa ikizingatiwa kampeni zinazoendelezwa dhidi ya matumizi ya mihadarati nchini.lakini hali sivyo katika jimbo la California ambamo kliniki zimefunguliwa zinazopeana bangi kwa wagonjwa kwa lengo la kutuliza maumivu.hata hivyo baadhi ya waraibu wa mihadarati wanadaiwa kutumia mwanya huu kukata kiu chao kupitia maumivu bandia.
Bangh ban protest in California
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Why did I get the 'ick' after our first kiss?
- 10 chiefs sacked in fight against FGM
- Vera Sidika releases music video after duping Kenyans about surgery
- Make Up by Rose: I rented a kit for my first job since I couldn't afford one
- Build your art collection on a budget
- Want a clear skin?Salt could be the solution
- Is my boyfriend a future husband, or just a bachelor in disguise?
- How to cut your expenses in half
- Devastating: The Nairobi Fly does not bite, but...
- Girl talk: Ten simple ways to boost your confidence
.
Popular this week
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- When friendships change: Trust, loss and letting go
- Top women who made headlines in 2018
- Why did I get the 'ick' after our first kiss?
- Kenya deploys special forces to DRC as rebels remain defiant
- Tips for potty training your little one
- Confessions: My first time…
- What you need to know about being a side chick
- Are my husband's "bad habits" hiding a deeper issue?
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.