×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Turukana Samburu cattle rustling - Swahili

Living

Watu waliojihami walivamia vijiji vya Laisamis huko Marsabit na kuiba ngamia wapatao mia mbili; mbuzi na kondoo ambao idadi yao inakisiwa kuwa elfu tano. Taharuki imetanda katika sehemu hiyo, hii ikiwa ni wiki chache tuu baada ya watu watatu kuuawa kwenye mashambulizi makali dhidi ya manyatta za Samburu na mifugo kadhaa kuibwa.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles