×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

CIOC on delayed bills - Swahili

Living
Mwenyekiti wa tume ya utekelezaji wa katiba abdikadir mohammed ametaja malumbano yanayoshuhudiwa baina ya afisi kuu za serikali zinazoshughulikia utekelezaji wa katiba kama kikwazo cha utekelezaji wa katiba mpya. .kufikia sasa takriban miswada 15 haijashughulikiwa kikamilifu licha ya kuwa yamesalia takriban majuma matatu kabla ya muda uliotengwa kukamilika.kutokana na hilo abdikar ameagiza waziri wa sheria, mkuu wa sheria na mwenyekiti wa tume ya utekelezaji wa katiba kufika mbele ya kamati hiyo siku ya alhamisi.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles