×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Tobiko extradition orders

Living
Mahakama kuu imedinda kutoa mwelekeo wowote hadi siku ya jumatatu kuhusiana na agizo la ofisi ya mkurugenzi wa mashtaka kuwahamisha Chris Okemo na Samuel Gichuru kutoka humu nchini hadi jiji la Jersey kujibu mashtaka ya ufujaji na kuficha pesa ambazo asili yake na kuhifadhiwa kwake nje ya nchi ni kitendawili kikubwa . Mkurugenzi wa mashtka Keriako Tobiko alielekeza maafisaa wa idara ya mashtaka humu nchini kuanza shughuli ya kuwahamisha wawili hao pamoja na kupata ilani ya kukamatwa kwao kwa mengi zaidi tunaungana na mwanahabari Anne Ngugi

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles