Mahakama kuu imedinda kutoa mwelekeo wowote hadi siku ya jumatatu kuhusiana na agizo la ofisi ya mkurugenzi wa mashtaka kuwahamisha Chris Okemo na Samuel Gichuru kutoka humu nchini hadi jiji la Jersey kujibu mashtaka ya ufujaji na kuficha pesa ambazo asili yake na kuhifadhiwa kwake nje ya nchi ni kitendawili kikubwa . Mkurugenzi wa mashtka Keriako Tobiko alielekeza maafisaa wa idara ya mashtaka humu nchini kuanza shughuli ya kuwahamisha wawili hao pamoja na kupata ilani ya kukamatwa kwao kwa mengi zaidi tunaungana na mwanahabari Anne Ngugi
Tobiko extradition orders
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Why you shouldn't share your good news too soon
- Confessions: I gave my neighbour’s teenage daughter more than a lift to town
- Finding purpose and fortune in the soil
- How to rock the bob style
- My baby has ‘tongue-tie’. Should I be worried?
- Nine times Khloe Kardashian and Tristan Thompson were couple goals
- Recipe: Lime Swahili crepes
- Amani's path: From pop star to finding salvation
- Strategies for managing your digital wallet
- Why married women cheat 'smarter' than men
.
Popular this week
- How we learn self-abandonment in childhood
- Easy at-home fixes for softer hands and feet
- The work spouse: Platonic partnership or cheating?
- Easy recipe: Pistachio milk cake
- Power dressing: How what you wear speaks before you do
- Beaded braids are back and taking over in style
- How do I find a man who actually wants to commit?
- How to handle a selfish person
- Signs your boyfriend still hooks up with his baby mama
- Why you shouldn’t stress about weight gain during isolation
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.