Siku chache kabla ya taifa jipya la Sudan kuanza rasmi kujitawala,waasi wamegeuka na kuwa tisho jipya kwa taifa ambalo limepigana kwa zaidi ya miaka 21. Taifa hilo limeathiriwa kiasi cha kwamba baadhi ya majimbo yametekwa nyara kabisa na waasi waliojitenga na jeshi la SPLA linalodaiwa kuwa jeshi linalotawaliwa katika misingi ya ukabila likisemekana kumilikiwa na kabila la dinka ,ambalo ni kabila la rais .changamoto kubwa iliopo sasa ni jinsi ya kupunguza idadi yao na kuhakikisha kwamba hatawatojiunga na waasi misituni.mwanahabari wetu Purity Mwambia ambaye alizuru nchini Sudan ametuandalia sehemu yetu ya pili ya makala ya mizingile ya utawala na kufichua sura za waasi Sudan
Sudan: Mizingile part 2
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Nairobi Expressway records 10 millionth user
- What your smartphone says about you
- 8 career mistakes women make
- Serena Williams and daughter Olympia Ohanian give us mummy-daughter goals
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- This is how to buy a condom, Kenyan style
- End your day at work on the right note
- Easy lifestyle changes to achieve cholesterol scale down
- The sex talk: Handling intimacy conversations with your children
- Epilepsy and pregnancy: What you need to know
.
Popular this week
- Your body knows how to detox and here's how to help it naturally
- Wendy Kimani: Good vibes, grit and a voice that endures
- Easy recipe: Vegetable fried eggs
- Cocktail bar: Salted caramel pecan sour
- From braids to wigs: The many faces of African hairstyles
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- To quit or not to quit: Signs you are ready for a career move
- What your smartphone says about you
- Can a man say no? Men and their right to consent
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.