Sudan: Mizingile part 2
Living
By | Jun. 23, 2011 | 1 Min read
Siku chache kabla ya taifa jipya la Sudan kuanza rasmi kujitawala,waasi wamegeuka na kuwa tisho jipya kwa taifa ambalo limepigana kwa zaidi ya miaka 21. Taifa hilo limeathiriwa kiasi cha kwamba baadhi ya majimbo yametekwa nyara kabisa na waasi waliojitenga na jeshi la SPLA linalodaiwa kuwa jeshi linalotawaliwa katika misingi ya ukabila likisemekana kumilikiwa na kabila la dinka ,ambalo ni kabila la rais .changamoto kubwa iliopo sasa ni jinsi ya kupunguza idadi yao na kuhakikisha kwamba hatawatojiunga na waasi misituni.mwanahabari wetu Purity Mwambia ambaye alizuru nchini Sudan ametuandalia sehemu yetu ya pili ya makala ya mizingile ya utawala na kufichua sura za waasi Sudan
.
Trending Now
- Easy recipe: Coleslaw salad
- Things you should always have when travelling solo
- Easy recipe: Creamy mashed potatoes
- Do office romances make marriages better?
- Alarm as killer cervical cancer rages country's women
- What you need to know before marrying an older man
- Easy recipe: Peri peri goat with rice
- Will AI machines complement or make human labour obsolete?
- What you need to know about foods that cause inflammation
- Shocking tale of women who steal sperm from men
.
Popular this week
- December holiday indulgences that can cause serious health problems
- Nurse who takes pride embracing children with HIV, sickle cell disease
- Why women thrive on compliments
- Do office romances make marriages better?
- Easy recipe: Coleslaw salad
- Easy recipe: Creamy mashed potatoes
- Are you stuck in a rut?
- Have your own money first before going out
- Things you should always have when travelling solo
- Why a breakup should be private
.
Similar Articles
.