×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

2012 politics over fuel - swahili

Living
Huenda ongezeko la bei ya mafuta humu nchini likawa ni njama baina ya wanasiasa wachache wanaonuia kuchangisha pesa za kampeini za uchaguzi wa mwaka wa 2012 kwa  kuwafilisisha wakenya. Haya yaliibuka katika kikao cha bunge leo hii ambapo kamati ya bunge ya masuala ya kawi ilipowahoji wadau kutoka sekta hiyo. Vilevile inaonekana sio tu gharama ya kimataifa ya mafuta inayochangia ongezeko hili bali pia vita baina ya wadau wakuu wakiwemo wale kutoka sekta ya kibinafsi na serikali huku kila mmoja akimlaumu mwenzake. Carol nderi aliyehudhuria kikao hicho anatupasha zaidi.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles