Rais kibaki na waziri mkuu raila odinga aidha hawawezi au hawataki kupambana na ufisadi nchini. Ndio msimamo wa waziri wa ardhi sally kosgey alipozungumza kwa kina na balozi wa marekani humu nchini michael rannerberger na maafisa wa ngazi ya juu wa marekani. Ufichuzi huu katika tovuti ya wikileaks pia unamnukuu kosgey wakati huo akiwa waziri wa elimu ya juu akisema ingawa aliamini raila odinga alikuwa na moyo wa mageuzi, kizingiti ni kuwa raila hataki kuwafuta kazi washirika wake waliohusishwa na ufisadi na kwamba anatawalwa sana na masuala ya itifaki badala swala nyeti la mageuzi kamili.
Wikileaks cables - swahili
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Ida Odinga: Pillar behind Raila's chequered legacy
- Revealed: Why Luo-Luhya wives are rated the cheats
- Siblings managing apartment hotels
- Bhajia verses viazi karai
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Teacher’s traumatizing night that left her widowed also turned her into a counsellor
- What is avoidant attachment?
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Wamatangi floors Wa Jungle, Nyoro, Kabogo and Kuria to win Kiambu governor seat
- Keep your child safe at home with these tips
.
Popular this week
- Do you know your bra size or are you still wearing 34B out of habit?
- Why waiting to get sick is a risk we can't afford
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Simple habits that boost daily productivity
- Is "camera culture" killing our children's dignity?
- Wunmi Mosaku makes history as first black British woman to win BAFTA for supporting actress
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- Is your partner speaking your love language?
- How to raise financially confident children
- Why maroon is the new neutral you need in your closet
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.