×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Wikileaks cables - swahili

Living
Rais kibaki na waziri mkuu raila odinga aidha hawawezi au hawataki kupambana na ufisadi nchini. Ndio msimamo wa waziri wa ardhi sally kosgey alipozungumza kwa kina na balozi wa marekani humu nchini michael rannerberger na maafisa wa ngazi ya juu wa marekani. Ufichuzi huu katika tovuti ya wikileaks pia unamnukuu kosgey wakati huo akiwa waziri wa elimu ya juu akisema ingawa aliamini raila odinga alikuwa na moyo wa mageuzi, kizingiti ni kuwa raila hataki kuwafuta kazi washirika wake waliohusishwa na ufisadi na kwamba anatawalwa sana na masuala ya itifaki badala swala nyeti la mageuzi kamili.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles