Rais kibaki na waziri mkuu raila odinga aidha hawawezi au hawataki kupambana na ufisadi nchini. Ndio msimamo wa waziri wa ardhi sally kosgey alipozungumza kwa kina na balozi wa marekani humu nchini michael rannerberger na maafisa wa ngazi ya juu wa marekani. Ufichuzi huu katika tovuti ya wikileaks pia unamnukuu kosgey wakati huo akiwa waziri wa elimu ya juu akisema ingawa aliamini raila odinga alikuwa na moyo wa mageuzi, kizingiti ni kuwa raila hataki kuwafuta kazi washirika wake waliohusishwa na ufisadi na kwamba anatawalwa sana na masuala ya itifaki badala swala nyeti la mageuzi kamili.
Wikileaks cables - swahili
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Teyana Taylor welcomes second child after giving birth in her bathroom
- Four ways to cook beans to prevent gas
- Reports untrue, Irene Masit has not resigned, her lawyer Donald Kipkorir says
- Why some women are comfortable walking without panties
- The tickling mass in my brain
- The nailing wonder truth
- Comedian Butita, Mammito move in together
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Ours wasn't just an office fling!
- Easy recipe: Kunafa filled with mozzarella
.
Popular this week
- How to prepare your toddler for a new sibling
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- The tickling mass in my brain
- Comedian Butita, Mammito move in together
- Russia's chaotic draft leaves some out in cold, without gear
- Khloe Kardashian and boyfriend Tristan Thompson hit with fresh cheating claim by Instagram model
- Pastor made a sermon out of my suffering, I quit church
- How to dress appropriately for an event
- Have I missed out by only being with one man?
- One dead in Lang'ata Road crash
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.