×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Majiwa Ashtakiwa

Living

Meya wa Nairobi Geoffrey Majiwa hii leo alifikishwa mahakamani kujibu mashtaka kuambatana na ununuzi wa ardhi ya maziara katika manispaa ya mavoko. Hata hivyo Majiwa alikanusha madai dhidi yake na kuachiliwa kwa dhamana ya shilingi milioni 2.5. naibu karani wa manispaa ya thika anayedaiwa kuhusika katika kashfa hiyo ya kuilaghai serikali fedha alikwepa kufika mahakamani na kuamrishwa kufika mahakamani tarehe tisa mwezi Novemba.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles