Kongamano la wakuu wa shule limefika tamati mjini Mombasa huku walimu wakitoa msururu wa matakwa ambayo wanataka serikali itekeleze katika kuimarisha maslahi ya walimu nchini.Walimu hao kando na kutaka awamu zilizosalia za nyongeza ya mishahara kwa walimu kutekelezwa, wametoa matakwa mengine kama vile kupewa marupurupu ya burudani, kando na kutunukiwa likizo ya kugombea nyadhfa za kitaifa za kisiasa. Walimu hao vilevile waliitaka serikali kuwafadhili katika azma zao za kisiasa, hoja iliyopingwa vikali na tume ya kuwaajiri walimu TSC.
Matakwa Ya Walimu
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- How to run a communication audit on your relationship
- Watch Lupita Nyong'o celebrate Faith Kipyegon's victory at Athlos NYC meet
- Top women in film
- Five overnight beauty tips to help you wake up looking your best
- #FashionTips: How to dress in a chiffon top
- The 'Devil' invades Maasai Mara threatening world's greatest wonder
- Seven things he will do if he truly loves you
- 8 signs you are suffering from ulcers
- Feature: Chinese athletes gain inspiration from Kenyan peers
- Four things you should never tell your girlfriends about your man
.
Popular this week
- Understanding the reality of living with fibroids
- Breaking tradition: The rise of childfree men
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- How to style slogan sweatshirts for every occasion
- Keeping passion alive after 'I Do'
- Easy recipe: Egg Benedict
- How to get 2022 KCSE results
- One home, two worlds: Raising children with different fathers
- Signs that your boyfriend has a 'mumama'
- How unhealthy guilt can ruin your life
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.