×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Matakwa Ya Walimu

Living

Kongamano la wakuu wa shule limefika tamati mjini Mombasa huku walimu wakitoa msururu wa matakwa ambayo wanataka serikali itekeleze katika kuimarisha maslahi ya walimu nchini.Walimu hao kando na kutaka awamu zilizosalia za nyongeza ya mishahara kwa walimu kutekelezwa, wametoa matakwa mengine kama vile kupewa marupurupu ya burudani, kando na kutunukiwa likizo ya kugombea nyadhfa za kitaifa za kisiasa. Walimu hao vilevile waliitaka serikali kuwafadhili katika azma zao za kisiasa, hoja iliyopingwa vikali na tume ya kuwaajiri walimu TSC.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles