Kongamano la wakuu wa shule limefika tamati mjini Mombasa huku walimu wakitoa msururu wa matakwa ambayo wanataka serikali itekeleze katika kuimarisha maslahi ya walimu nchini.Walimu hao kando na kutaka awamu zilizosalia za nyongeza ya mishahara kwa walimu kutekelezwa, wametoa matakwa mengine kama vile kupewa marupurupu ya burudani, kando na kutunukiwa likizo ya kugombea nyadhfa za kitaifa za kisiasa. Walimu hao vilevile waliitaka serikali kuwafadhili katika azma zao za kisiasa, hoja iliyopingwa vikali na tume ya kuwaajiri walimu TSC.
Matakwa Ya Walimu
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- When one girl rises, she lifts others with her
- When politicians come face to face with family drama
- Confessions: He wants a son so bad, it's affecting us
- The woman who gave Raila the name 'Agwambo'
- Cooling effect of mint
- Outfits that accommodate Miss Flo
- Star of the week: Lauren Elizabeth James
- Red flag as more young Kenyans are 'too trusting to use condoms'
- Meet Dr. Diana Gitau, Forbes 30 under 30 Africa nominee
- Star of the week: Michelle Alozie
.
Popular this week
- The invisible third party: Is your family killing your marriage?
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- Is "camera culture" killing our children's dignity?
- Wunmi Mosaku makes history as first black British woman to win BAFTA for supporting actress
- How to raise financially confident children
- Woman with the largest breasts in the world looking for love
- OPINION: No texts, no flowers from these sons of Beelzebub
- Parental kissing: Should parents kiss their children on the mouth?
- Canada cites power outages in travel advisory against Kenya
- Aiming for healthy weight gain?
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.