Kongamano la wakuu wa shule limefika tamati mjini Mombasa huku walimu wakitoa msururu wa matakwa ambayo wanataka serikali itekeleze katika kuimarisha maslahi ya walimu nchini.Walimu hao kando na kutaka awamu zilizosalia za nyongeza ya mishahara kwa walimu kutekelezwa, wametoa matakwa mengine kama vile kupewa marupurupu ya burudani, kando na kutunukiwa likizo ya kugombea nyadhfa za kitaifa za kisiasa. Walimu hao vilevile waliitaka serikali kuwafadhili katika azma zao za kisiasa, hoja iliyopingwa vikali na tume ya kuwaajiri walimu TSC.
Matakwa Ya Walimu
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- We love each other, so why do our fights feel so toxic?
- Why chronic exhaustion is a medical red flag
- Step-by-step development of your 11-month old baby
- Meghan Markle baby shower: Duchess cradles baby bump as she leaves New York hotel
- Of 'nyama choma' and a blindfold...
- Over 200 women entrepreneurs benefit from Absa Bank's She Stars programme
- Airline's strict 'doctor's note' demand has angered female flight attendants
- Women making big moves in the film industry
- Is finding the right partner a journey?
- My mother, my mirror: The untold story of Sheila Mwanyigha
.
Popular this week
- Easy recipe: Sticky date cuppies
- What is the right age for teens to date?
- We love each other, so why do our fights feel so toxic?
- Easter on the move: Where to splurge, where to save
- Office romance: Worth the risk or a career mistake?
- Is choreromance the future of dating?
- Leave that job you hate without burning bridges
- Peru's new government declares police state amid protests
- Why chronic exhaustion is a medical red flag
- Adolphe unmasked
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.