Kongamano la wakuu wa shule limefika tamati mjini Mombasa huku walimu wakitoa msururu wa matakwa ambayo wanataka serikali itekeleze katika kuimarisha maslahi ya walimu nchini.Walimu hao kando na kutaka awamu zilizosalia za nyongeza ya mishahara kwa walimu kutekelezwa, wametoa matakwa mengine kama vile kupewa marupurupu ya burudani, kando na kutunukiwa likizo ya kugombea nyadhfa za kitaifa za kisiasa. Walimu hao vilevile waliitaka serikali kuwafadhili katika azma zao za kisiasa, hoja iliyopingwa vikali na tume ya kuwaajiri walimu TSC.
Matakwa Ya Walimu
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Ginny and Georgia season 3: Jaw-dropping twists nobody saw coming
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- Are we raising entitled children?
- 7 Healthy Snacks to help you lose weight and energize
- Simple, budget-friendly meals to keep your family healthy and full
- Five smart ways to eliminate bloating
- Men only: Splendours of solitude in a postcard city
- Modern fatherhood: Rise of the present dad
- The struggle of being a dark-skinned woman
- Married but stressed: How to ask for help
.
Popular this week
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- Is it me, or is everyone I date allergic to commitment?
- Remove false eyelashes at home with these hacks
- Boost immunity and skin health with Vitamin C-rich foods
- My new habits never stick, what am I doing wrong?
- Make 2026 the year of balanced, preventive and sustainable health
- Five factors to consider before dyeing your hair
- Easy recipe: Blueberry and strawberry cake
- Signs your man might be cheating
- Coder who turned civic frustration into global recognition
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.