×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Washukiwa Wa Ujambazi Kinoo

Living

Maafisa weapoliis wa kituo cha kinoo wameuwawa majambazi wanne wiki chache tu baad aya maafisa wakituo hicho kudaiwa kwuatia nguvuni vijana kumi na wanne na kisha miiili yao kupatikana imetupwa katika msitu wa kinale. Aidha wanne hao walikuwa katika kundi la majambazi sita waliokuwa wamejihama na kufanya msururu wa uvamizi leo asubuhi katika nyumba nne mtaani humo. Gari lilikuwa wakitumia kusafirisha bidhaa walioziba lilinaswa na kwa sasa lipo katika kituo cha polisi cha kinoo.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles