×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Utawala Wa Mikoa

Living

Mgogoro kuambatana na majukumu ya utawala wa mikoa chini ya katiba mpya hii leo umechukua mkondo mpya huku mawaziri Noah Wekesa na Mutula Kilonzo wakitangaza kutofahamu lolote kuhusiana na maafikiano ya baraza la mawaziri kuhusu suala hili.hayo yakiarifiwa afisi ya rais imedaiwa kutuma wawakilishi kutoka utawala wa mikoa nchini Brazil kujipa ufahamu kuhusiana na majukumu ya utawala wa mikoa chini ya mfumo wa ugatuzi nchini humo.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles