×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Hatma Ya Amal Aziz

Living

Idara ya trafiki imetoa taarifa kuhusiana na kesi ya msichana wa miaka saba, aliyejeruhiwa vibaya baada ya kugongwa na gari mwezi aprili mwaka huu katika lango la mtaa wao. Mkuu wa idara ya trafiki eneo la Nairobi, amesema kwamba dereva mhusika alichukuliwa hatua na kufikishwa mahakamani, huku akisema kwamba kesi hiyo imechukua muda kutokana na familia ya msichana aliyejeruhiwa, kukosa kufuata mpangilio ufaao na kujaza fomu zifaazo za malalamishi.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles