×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Mauaji Ya Helaiki Rwanda

Living

Ni miaka kumi na sita sasa tangu nchi ya Rwanda kukabiliwa na vita vya kikabila kati ya makabila makuu ya  wahutu na watutsi. Na japo bado wangali wana safari ndefu kabla ya kuwa na uwiano kikamilifu kati ya wanyarwanda,nchi hii imepiga hatua za kusifika. na japo Rais Paul Kagame amekuwa akishutumiwa kwa kuzuia demokrasia na kuwanyima wanahabari Uhuru wa kujieleza,Kagame anajitetea kuwa yote haya anafanya kwa minajili ya kuzuia vita vingine vyovyote nchini humo. Mwanahabari wetu Carol Nderi alikuwa nchini Rwanda na ametuandalia taarifa ifuatayo.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles