×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Afya Ya Waziri Mkuu

Living

Mkamu wa Rais Kalonzo Musyoka ametoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuhusu afya ya waziri mkuu Raila Odinga. Hii ni kufuatia maswali ya wabunge waliotaka serikali kuelezea hali ya afya ya Waziri Mkuu, na iwapo anapokea matibabu ya kutosha nchini. Wakati huo huo mabalozi kadhaa wa kigeni walifika katika hospitali ya Nairobi kumjulia hali waziri mkuu, ambaye kwa mujibu wa daktari wake anaendelea kupata nafuu.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles