Mkamu wa Rais Kalonzo Musyoka ametoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuhusu afya ya waziri mkuu Raila Odinga. Hii ni kufuatia maswali ya wabunge waliotaka serikali kuelezea hali ya afya ya Waziri Mkuu, na iwapo anapokea matibabu ya kutosha nchini. Wakati huo huo mabalozi kadhaa wa kigeni walifika katika hospitali ya Nairobi kumjulia hali waziri mkuu, ambaye kwa mujibu wa daktari wake anaendelea kupata nafuu.
Afya Ya Waziri Mkuu
Living
By | 16 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- I got a C in high school but here I am, a pioneer
- How I help my husband be a world champion
- Millennial mums on parenting
- What men with strong handshakes have in common
- Navigating fatherhood, five must-know tips for first time dads
- After 8-year chase, one kiss and he was gone
- How to parent purposefully this year
- Six Japanese anti-ageing secrets you need to know
- 5 ways you can curl your hair without heat
- Why coffee brown is the new fashion favourite
.
Popular this week
- I got a C in high school but here I am, a pioneer
- Introducing an affordable Quick Yoghurt Maker
- How I help my husband be a world champion
- What exactly is cheating? Kenyans have their say
- Easy recipe: Winning with Maqluba
- Health benefits of taking ukwaju
- Smart money habits every freelancer needs
- Zambia's most outspoken HIV activist talks about her battle with HIV
- Juma Jux and wife Priscilla Ojo welcome baby boy in Canada
- #MCM: Mulunda Kombo, for the love of food
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.