Mkamu wa Rais Kalonzo Musyoka ametoa taarifa rasmi ya serikali bungeni kuhusu afya ya waziri mkuu Raila Odinga. Hii ni kufuatia maswali ya wabunge waliotaka serikali kuelezea hali ya afya ya Waziri Mkuu, na iwapo anapokea matibabu ya kutosha nchini. Wakati huo huo mabalozi kadhaa wa kigeni walifika katika hospitali ya Nairobi kumjulia hali waziri mkuu, ambaye kwa mujibu wa daktari wake anaendelea kupata nafuu.
Afya Ya Waziri Mkuu
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Why househelps are VIPs in January
- Of impeachments and opportunities
- Be a perceptive traveller this holiday
- Cardi B calls off Offset divorce officially after being trolled for taking him back
- What happens when she brings home more money?
- More women taking to the skies
- Thinking of plastic surgery?
- How to financially empower the mothers in your life
- Vera Sidika shares 'first part' of supposed BBL reversal surgery
- When does control cross the line into an abusive relationship?
.
Popular this week
- Beef steak with cherry tomatoes and rosemary
- The nailing wonder truth
- How to financially empower the mothers in your life
- Why is it so hard for me to just relax around people?
- Easy recipe: Spicy mango chilli with chamoy
- I have heard rumours about my husband sleeping around with other women. Should I confront him?
- Why married women are more likely to be successful entrepreneurs than single women.
- A mother's journey through career, caregiving and balance
- Marketers ramp up push for recognition
- State of mental health in public hospitals
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.