The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Gavana wa Taita Taveta Granton Samboja na Kinara wa ODM Raila Odinga.
Wangwana wa kaunti ya Taita Taveta, nambari 006 kati ya kaunti 47 za Kenya wangali wamepigwa na butwaa wakati gavana wao Granton Samboja ambaye aliingia uongozini mwaka 2017 kwa tikiti ya kulazimishwa ya WIPER, alimkimbilia kiongozi wa upinzani Raila Odinga badala ya kinara wake wa chama Stephen Kalonzo Musyoka kwa ushauri wa dharura kuhusiana na kusambaratika kwa serikali yake kufuatia mjuvyo wa kiutawala baina yake na wawakilishi (MCAs) wa wadi za Taita Taveta.
Habari za kuaminika zatujia kinaga ubaga kwamba Gavana Samboja huenda akahamia rasmi kwa chama cha ODM siku chache zijazo kubwaga chama cha WIPER, tayari kwa vita vyovyote vile vya siasa ya uchaguzi mpya mdogo wa kaunti endapo pendekezo lake la kuitaka serikali ya kaunti ya Taita Taveta ivunjiliwe mbali litatimia.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.