×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now

Joho aokoa sura za wabunge mbele ya Uhuru

Rais Uhuru Kenyatta akiwa na Gavana wa Mombasa Hassan Joho (katikati) na Mwenyekiti wa Uchumi wa baharini Jenerali Samson Mwathethe (kushoto) wakizuru idara ya uhandisi katika uzinduzi wa Bandari Maritime Academy

Baadhi ya wabunge wa pwani ambao walijitokeza kwenye sherehe ya Rais Uhuru Kenyatta ya kuzindua sekta muhimu ya mafunzo ya ubaharia katika kitengo cha uchumi samawati, yadhihirika kuwa walihudhuria shingo upande.

Hii ni baada ya mpango wao wa kumtaka kumrai gavana wa Mombasa, Hassan Joho jioni yake kabla ya uzinduzi wa Bandari Maritime Academy, wa kumtaka asusie ama kuwa muongozo juu ya kuhudhuria au la, kutibuka.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in