The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Rais Uhuru Kenyatta akiwa na Gavana wa Mombasa Hassan Joho (katikati) na Mwenyekiti wa Uchumi wa baharini Jenerali Samson Mwathethe (kushoto) wakizuru idara ya uhandisi katika uzinduzi wa Bandari Maritime Academy
Baadhi ya wabunge wa pwani ambao walijitokeza kwenye sherehe ya Rais Uhuru Kenyatta ya kuzindua sekta muhimu ya mafunzo ya ubaharia katika kitengo cha uchumi samawati, yadhihirika kuwa walihudhuria shingo upande.
Hii ni baada ya mpango wao wa kumtaka kumrai gavana wa Mombasa, Hassan Joho jioni yake kabla ya uzinduzi wa Bandari Maritime Academy, wa kumtaka asusie ama kuwa muongozo juu ya kuhudhuria au la, kutibuka.
Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access