×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Joho aokoa sura za wabunge mbele ya Uhuru

Rais Uhuru Kenyatta akiwa na Gavana wa Mombasa Hassan Joho (katikati) na Mwenyekiti wa Uchumi wa baharini Jenerali Samson Mwathethe (kushoto) wakizuru idara ya uhandisi katika uzinduzi wa Bandari Maritime Academy

Baadhi ya wabunge wa pwani ambao walijitokeza kwenye sherehe ya Rais Uhuru Kenyatta ya kuzindua sekta muhimu ya mafunzo ya ubaharia katika kitengo cha uchumi samawati, yadhihirika kuwa walihudhuria shingo upande.

Hii ni baada ya mpango wao wa kumtaka kumrai gavana wa Mombasa, Hassan Joho jioni yake kabla ya uzinduzi wa Bandari Maritime Academy, wa kumtaka asusie ama kuwa muongozo juu ya kuhudhuria au la, kutibuka.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902