Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Je, ushawahi kujiuliza ni nini hufanyikia akaunti zako binafsi katika mitandao ya kijamii baada yako kufariki?

Wengi wetu hutamaushwa sana na jumbe za aina hii lakini tunalazimika kuishi na ukweli huu mchungu kila uchao. Hivi nikikwambia ya kwamba zipo mbinu za kuepukana na jumbe za aina hii? Ya kwamba kwa hakika unaweza kuzikarabati akaunti hizi ili angalau baada yako kufariki bado utakuwa umezidhibiti kwa njia ambayo hazitaweza kuingililia maisha ya wenzako?

Watu wengi wanapopanga mazishi yao, hauna budi kupata ya kwamba wao ni wanachama katika vyama vya mazishi na hata pia huzikarabati vyeti vya kuashiria ni nani atayemiliki mali yao baada yao kufariki mara kwa mara. Ila ni wachache ambao huwazia kuhusu akaunti zao za mitandao ya kijamii. Maisha katika karne hii ya 21 yanamlazimu kila adinasi kuwa angalau na simu ya rununu na kompyuta ambazo hufanikisha akaunti hizi za kijamii ikiwemo Facebook, Twitter, Instagram, Snapchat, LinkedIn, Pinterest, Tumblr……. … na nyinginezo zaidi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News