The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wengi wetu
hutamaushwa sana na jumbe za aina hii lakini tunalazimika kuishi na ukweli huu
mchungu kila uchao. Hivi nikikwambia ya kwamba zipo mbinu za kuepukana na jumbe
za aina hii? Ya kwamba kwa hakika unaweza kuzikarabati akaunti hizi ili angalau
baada yako kufariki bado utakuwa umezidhibiti kwa njia ambayo hazitaweza kuingililia
maisha ya wenzako?
Watu wengi
wanapopanga mazishi yao, hauna budi kupata ya kwamba wao ni wanachama katika
vyama vya mazishi na hata pia huzikarabati vyeti vya kuashiria ni nani
atayemiliki mali yao baada yao kufariki mara kwa mara. Ila ni wachache ambao
huwazia kuhusu akaunti zao za mitandao ya kijamii. Maisha katika karne hii ya
21 yanamlazimu kila adinasi kuwa angalau na simu ya rununu na kompyuta ambazo
hufanikisha akaunti hizi za kijamii ikiwemo Facebook, Twitter, Instagram,
Snapchat, LinkedIn, Pinterest, Tumblr……. … na nyinginezo zaidi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.