Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Raia sita zaidi wa kigen wakamatwa Garissa wakielekea Somalia kujiunga na Al-Shabaab.

Raia sita zaidi wa kigen wamekamatwa katika Kaunti ya Garissa wakiarifiwa kuwa na lengo la kusafiri kuelekea Somalia.

Kwa mujibu wa polisi, raia hao wa kigeni walikamatwa wakiwa katika harakati za kuulizia njia mwafaka ya kufika Somalia kupitia mpaka ulioko katika kaunti hiyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News