Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Msichana wa miaka 15, akiri kuwaua ndugu zake watatu

Maafisa wa Idara ya Upelelezi DCI katika Kaunti ya Kiambu wanachunguza kisa cha kushangaza ambapo msichana wa miaka 15 anadaiwa kuwaua ndugu zake watatu, pamoja na binamu yake katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

Inaarifiwa kwamba msichana huyo ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza, amekiri kutekeleza mauaji hayo katika kituo cha Polisi cha Kikuyu, ambako anaendelea kuzuiliwa huku uchunguzi ukiendelea.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News