×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

DCI kuchunguza sakata ya ulaghai wa mpango wa masomo, Uasn Gishu

Idara ya Upelelezi DCI imeanzisha uchunguzi kufuatia madai ya ulaghai wa mpango wa masomo kwa wanafunzi kutoka Kaunti ya Uasin Gishu waliofaa kusomea nchini Finland na Canada.

Katika taarifa yake jioni hii DCI imesema hatua hiyo inafuatia malalamiko kutoka kwa wakazi wanaodai kulaghaiwa mamilioni ya pesa wakiahidiwa kuwa wanao wangefadhiliwa kusomea nchini humo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in