×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

Ukweli u wapi? -Raila Odinga

Living

Kiongozi wa Azimio Raila Odinga ameendelea kutetea hatua yake ya kuwasilisha kesi mahakamani kupinga matokeo ya kura ya urais.

Akizungumza alipohudhuria Ibada katika Kanisa la AIC Kibra jijini Nairobi, Raila ameeleza kwamba lengo lake kuu ni kulinda demokrasi kando na kuhakikisha ukweli unajulikana, hasa baada ya mianya kuibuka baina ya makundi mawili ya makamishna wa IEBC.

Ameendelea kusisitiza kuwa ana imani katika Idara ya mahakama akisisitiza kwamba ataheshimu uamuzi utakaotolewa.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles