×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Mbunge Oscar Sudi ashtakiwa kwa kugushi stakabadhi zake za masomo

Living

Na Carren Omae

Mbunge wa Kapseret Oscar Sudi amekana kutumia stakabadhi ghushi za masomo alipokuwa akitafuta tiketi ya uteuzi wakati wa uchaguzi wa mwaka 2013. Kadhalika amekana kutoa maelezo na maazimio ya uwongo kwa maafisa wa umma.

Kwa mujibu wa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi EACC, stashahada ya Sudi katika Somo la Biashara na cheti cha Shule ya Upili zilikuwa ghushi. Ameachiliwa kwa shilingi laki tatu pesa taslimu.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles