Na Carren Omae
Mbunge wa Kapseret Oscar Sudi amekana kutumia stakabadhi ghushi za masomo alipokuwa akitafuta tiketi ya uteuzi wakati wa uchaguzi wa mwaka 2013. Kadhalika amekana kutoa maelezo na maazimio ya uwongo kwa maafisa wa umma.
Kwa mujibu wa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi EACC, stashahada ya Sudi katika Somo la Biashara na cheti cha Shule ya Upili zilikuwa ghushi. Ameachiliwa kwa shilingi laki tatu pesa taslimu.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.