×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Rais aitembelea familia ya Ntimama

Living

Na, Beatrice Maganga

Taifa linaendelea kuomboleza kifo cha mwasiasa mkongwe, William Ole Ntimama huku Rais Uhuru Kenyatta leo hii akiitembelea familia ya mwendazake kwenye Mtaa wa Lavingtone jijini Nairobi ili kuifariji. Rais ameandamana na viongozi mbalimbali serikalini wakiwamo Waziri wa Masuala ya Humu Nchini, Joseph Nkaissery.

Halfa ya mazishi ya kigogo huyo wa siasa aliyefariki dunia wiki iliyopita imeahirishwa kutoka Jumamosi hii hadi tarehe kumi na nne mwezi huu kutokana na wito wa serikali.

Kamati inayoshughulikia mazishi ya mwendazake chini ya uongozi wa Hassan Ole Kamwaro na Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Alex ole Magelo iliahirisha mazishi hayo ili kutatoa fursa kwa Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine serikalini kuhudhuria.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles