Tarehe ya leo 13 januari itasalia kama siku muhimu iliona idara ya
mahakama ikitoa uamuzi mwingine muhimu kuhusiana na lini wakenya
wataanda uchaguzi mkuu. Hisia tofauti zimeibuku kuhusu uamuzi wa
mahakama kuweka uchaguzi kufanywa mwezi machi 2013, siku 60 baada ya
kumalizika kwa muhula wa miaka mitano wa bunge la kumi, ikiwa vinara
wawili wa serikali ya muungano hawatauvunja muungano huo mapema. Pia
kuna wasiwasi vipi suala la muhula wa rais kibaki unaomalizika desemba
31 utakabiliwa, huku wengine wakidai kutakuwa na pengo hata hivyo jaji
issac lenaola na wenzake david majanja na mumbi ngugi wamepuuzilia
katika maamuzi yao kuambatana na sheria za katiba.
Election date ruling
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Six soft moments that build physical intimacy
- Dull Christmas for William Ruto as ratings fall
- The Ugly Stain of Colonization: Speak your mother tongue!
- What to do when your food tastes bland
- A guide to making the most of your social media break
- Halle Bailey speaks out on postpartum body struggles following online criticism
- Basketball: Dynamites, Dumas eye top spot
- Vishete recipe: Ignite the romance
- Why you need a partner in life
- Mistakes you should avoid to help you enjoy a trip
.
Popular this week
- From copy-paste masters to insiders: Meet ten Kenyan bloggers
- Stop counting calories, smarter eating habits matter more for weight loss
- How to prevent your child from getting fluorosis
- How to turn your setback into a comeback
- It's Zendaya season and every red carpet moment is pure magic
- Why adolescents retreat into their rooms during school holidays
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
- Office romance: Worth the risk or a career mistake?
- I slept with my sister's husband while she was away and can't stop thinking about it
- MCA threatens to beat up Kenya Power boss
.
Similar Articles
.
Latest Articles
Parenting
By Juliet Omelo
Apr. 10, 2026
Living
Apr. 10, 2026
Healthy Eating
Apr. 10, 2026
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.