×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Election date ruling

Living
Tarehe ya leo 13 januari itasalia kama siku muhimu iliona idara ya mahakama ikitoa uamuzi mwingine muhimu kuhusiana na lini wakenya wataanda uchaguzi mkuu. Hisia tofauti zimeibuku kuhusu uamuzi wa mahakama kuweka uchaguzi kufanywa mwezi machi 2013, siku 60 baada ya kumalizika kwa muhula wa miaka mitano wa bunge la kumi, ikiwa vinara wawili wa serikali ya muungano hawatauvunja muungano huo mapema. Pia kuna wasiwasi vipi suala la muhula wa rais kibaki unaomalizika desemba 31 utakabiliwa, huku wengine wakidai kutakuwa na pengo hata hivyo jaji issac lenaola na wenzake david majanja na mumbi ngugi wamepuuzilia katika maamuzi yao kuambatana na sheria za katiba.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles