×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Baraza saga; how things have changed

Living
Kisa cha naibu jaji mkuu nancy baraza kimeibua historia ya jinsi vigogo serikalini huwa na mwenendo wa maringo kupita kiasi na kuwatweza wananchi pindi wanapokuwa katika maeneo ya umma. Na kwa wale wanaodhania wanaonewa sheria za maadili ya afisa wa umma zinawashinikiza kuheshimu watu katika shughuli rasmi na vile vile  wanapoendesha maisha yao kibinafsi. Huu utakuwa mtihani mkubwa kwa idara ya mahakama ikiwa watatekeleza haki kuambatana na sheria hiyo ya maadili. Baraza la tume ya mahakama litakutana jumatatu ijaayo kutafakari kisa hiki cha naibu jaji mkuu, baada ya jaji mkuu willy mutunga kuonya kuwa hakuna yeyote ambaye sheria itamlinda.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles