×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Isiolo conflict followup

Living
Kufuatia mauaji ya siku ya krismasi mjini isiolo afisa mkuu wa utawala eneo hilo isaiah mburu alifanya mkutano wa amani na wazee wa jamii, za waturkana, wasomalia na waborana mchana wa leo katika makao makuu ya wilaya ya isiolo. Kwenye mkutano huo, wazee kutoka jamii zinazozana, walilaumiana kuhusiana na tukio la hapo juzi. Si mara moja au mbili eneo la isiolo limewazika waathiriwa wa mashambulizi kati ya jamii hizi, tatizo likiwa ardhi, lishe, maji na hata siasa. Ali manzu anaarifu zaidi.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles