Siku moja baada ya serikali kusisitiza ni sharti vijakazi wa nyumbani wakiwemo mayaya kulipwa shillingi elfu saba kila mwezi , baadhi wa wafanyakazi hao wameanza kuhofia kupoteza nafasi zao za kazi. Wasi wasi uliopo kwa sasa ni kuwa hata waajiri wao hawalipwi vizuri. Na huku gharama ya maisha ikiwa juu ,ni wazi kwamba sio wengi watakaomudu gharama ya kuwaajiri vijakazi wa nyumbani. Tuliweza kuzungumza na milicent wanjiru ambaye hufanya kazi ya uyaya na vile vile kufanikiwa kupata stakabadhi ya mshahara ya wafanyakazi wanaolipwa elfu kumi na nne na bado wanaajiri vijakazi
Minimum wage followup - Swahili
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- How to regain control after emotional triggers at work
- Woman claims she gave birth to a snake
- Help! We argue about everything
- How to regain control after emotional triggers at work
- Tired of catfishes? Find love online without the drama
- Elegance and a little power is worthwhile
- Mama's boy no more: Why men must let go of their mums
- First Timer: Daniel 'Churchill' Ndambuki - I learnt to pretend that two pieces of ugali were enough
- Confessions: My boyfriend is great but I still love my ex
- Why hip dips won't go away no matter how much you exercise
.
Popular this week
- Why hip dips won't go away no matter how much you exercise
- How to regain control after emotional triggers at work
- Don't ignore that joint pain, it could be arthritis
- Hard truth about business funding no one tells entrepreneurs
- Colour your hair naturally
- I caught him with a condom in his pocket
- The good and the bad of eating tomatoes
- Starting out? 5 tips from an audit consultant
- Health benefits of taking grapes
- Simple and affordable home renovation ideas you can try yourself
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.