×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Makala: Kinyanganyiro 26.02.11

Living
Mawimbi ya kisiasa yanaonekana yametulia baada ya hatua ya Rais Kibaki kubadili msimamo kuhusiana na uteuzi wa maafisa wakuu katika idara ya mahakama. Kila upande ulikuwa umenoa silaha tayari kwa vita. Lakini utulivu huu ni wa kweli au ni wa kutufumba tu macho. Wataalam wanasema kunatokota na waliojihisi wamepata pigo katika matukio haya yote, wanapanga mikakati ya kulipiza kisasi. Katika makala ya kinyanganyiro wiki hii Munira Muhammad anachambua vita vimeelekezwa wapi kwa sasa.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles