×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Watoto Wapotea Buruburu

Living

Jamii mbili mtaani buruburu zinahangaika katika kuwatafuta watoto wao wawili waliotoweka kwa muda wa sikutano kufikia sasa. Gilles Maiben aliye na umri wa miaka 12 na mwenzake Ibrahim Yusuf wa miaka 13 wanadaiwa kutoka shule wanayosomea ya baraka mtaani buruburu ijumaa iliyopita  na hadi sasa hawajapatikana wala kujulikana kule walipo .Carol Nderi alizungumza na wazazi wa vijana hao wawili ambao licha ya ripoti kupiga katika kituo cha polisi cha buruburu bado hawajafanikiwa kuwapata watoto wao.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles