×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Maisha Peupe 13.02.11

Living
Waathiriwa wengi wa ghasia za baada ya uchaguzi ni wale wanaoishi katika mitaa ya mabanda. Kina mama walibakwa na kuwachwa bila waume na wanao,wasiweze kujipatia riziki  baada ya hapo. Hata hivyo, wanawake na waume katika mtaa wa mabanda wa kibera wameamua kubadilisha hali yao ya kichumi kwa kufanya ukulima. Amini usiamini,katikati mwa mtaa huo, kuna mashamba ambayo yanazaa mazao kupita ilivyotarajiwa, huku wakitumia nafasi hiyo sio tuu kulisha jamii, bali kuzungumza kuhusu machungu waliyoyapitia na hapo kuponya nafsi zao. Esther Kahumbi anatuletea taarifa hiyo katika makala ya leo ya Maisha Peupe

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles