Waathiriwa wengi wa ghasia za baada ya uchaguzi ni wale wanaoishi katika mitaa ya mabanda. Kina mama walibakwa na kuwachwa bila waume na wanao,wasiweze kujipatia riziki baada ya hapo. Hata hivyo, wanawake na waume katika mtaa wa mabanda wa kibera wameamua kubadilisha hali yao ya kichumi kwa kufanya ukulima. Amini usiamini,katikati mwa mtaa huo, kuna mashamba ambayo yanazaa mazao kupita ilivyotarajiwa, huku wakitumia nafasi hiyo sio tuu kulisha jamii, bali kuzungumza kuhusu machungu waliyoyapitia na hapo kuponya nafsi zao. Esther Kahumbi anatuletea taarifa hiyo katika makala ya leo ya Maisha Peupe
Maisha Peupe 13.02.11
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Should I force my son to use his right hand?
- The art of saying no: Closing doors to protect your peace
- Tips on how to grow back your receding hairline
- Female instrumentalists making waves
- Shania Twain's 'horrible' best friend 'stole' her husband - so she married hers as revenge
- Younger vs older doctors: Who do you prefer?
- Woman remains hopeful despite being bedridden for 32 years
- Can a relationship survive opposite money habits?
- Learn to speak up without being pushy
- Kenya Kwanza settles on final five nominees for EALA
.
Popular this week
- The truth about IVF add-ons: Do they really improve success?
- Why waiting to get sick is a risk we can't afford
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Master the art of staying grounded in tough times
- I was raped by my cousin when I was 10 years old
- I married my campus lover: Flight attendant's sky-high success story
- Wunmi Mosaku makes history as first black British woman to win BAFTA for supporting actress
- Confessions: My boyfriend is too controlling, how do I make him stop?
- Simple habits that boost daily productivity
- Ruto and Raila differ on Eurobond billions
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.