Waathiriwa wengi wa ghasia za baada ya uchaguzi ni wale wanaoishi katika mitaa ya mabanda. Kina mama walibakwa na kuwachwa bila waume na wanao,wasiweze kujipatia riziki baada ya hapo. Hata hivyo, wanawake na waume katika mtaa wa mabanda wa kibera wameamua kubadilisha hali yao ya kichumi kwa kufanya ukulima. Amini usiamini,katikati mwa mtaa huo, kuna mashamba ambayo yanazaa mazao kupita ilivyotarajiwa, huku wakitumia nafasi hiyo sio tuu kulisha jamii, bali kuzungumza kuhusu machungu waliyoyapitia na hapo kuponya nafsi zao. Esther Kahumbi anatuletea taarifa hiyo katika makala ya leo ya Maisha Peupe
Maisha Peupe 13.02.11
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Serious illness demands honesty, not false reassurance from doctors
- 10 reasons Kenyans love ‘come-we-stay’ marriages
- From Elachi to Waiguru: Five high profile women who have been ‘hounded out’ of office
- Importance of trees to our earth
- Easy recipe: Hard boiled egg, avocado and tuna toast
- How to stay hydrated without necessarily drinking water
- How Kenyan writers have failed to etch their own literary identity
- World's tallest woman: Being different is not as bad as you think
- How you can rediscover your inner child through play
- Power dressing: How what you wear speaks before you do
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.