Waathiriwa wengi wa ghasia za baada ya uchaguzi ni wale wanaoishi katika mitaa ya mabanda. Kina mama walibakwa na kuwachwa bila waume na wanao,wasiweze kujipatia riziki baada ya hapo. Hata hivyo, wanawake na waume katika mtaa wa mabanda wa kibera wameamua kubadilisha hali yao ya kichumi kwa kufanya ukulima. Amini usiamini,katikati mwa mtaa huo, kuna mashamba ambayo yanazaa mazao kupita ilivyotarajiwa, huku wakitumia nafasi hiyo sio tuu kulisha jamii, bali kuzungumza kuhusu machungu waliyoyapitia na hapo kuponya nafsi zao. Esther Kahumbi anatuletea taarifa hiyo katika makala ya leo ya Maisha Peupe
Maisha Peupe 13.02.11
Living
By | 15 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- I married my campus lover: Flight attendant's sky-high success story
- Pride of Kenya: Ida Odinga honoured with lifetime achievement award
- The truth about IVF add-ons: Do they really improve success?
- Rashid Khalani: Quality care comes at a cost but there is a solution
- Cocktail bar: Salted caramel pecan sour
- Do you know your bra size or are you still wearing 34B out of habit?
- Turn desire into a force for good
- How to treat constipation at home
- Africa Climate Week: What we must do to alleviate food insecurity
- 5 types of inner wears that every lady needs in her wardrobe
.
Popular this week
- Master the art of staying grounded in tough times
- I married my campus lover: Flight attendant's sky-high success story
- Do you know your bra size or are you still wearing 34B out of habit?
- The truth about IVF add-ons: Do they really improve success?
- Why waiting to get sick is a risk we can't afford
- Simple habits that boost daily productivity
- Wunmi Mosaku makes history as first black British woman to win BAFTA for supporting actress
- Is "camera culture" killing our children's dignity?
- Easy recipe: Swahili prawns masala
- Land for Sh28b Ruto hospital in court dispute
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.