Waathiriwa wengi wa ghasia za baada ya uchaguzi ni wale wanaoishi katika mitaa ya mabanda. Kina mama walibakwa na kuwachwa bila waume na wanao,wasiweze kujipatia riziki baada ya hapo. Hata hivyo, wanawake na waume katika mtaa wa mabanda wa kibera wameamua kubadilisha hali yao ya kichumi kwa kufanya ukulima. Amini usiamini,katikati mwa mtaa huo, kuna mashamba ambayo yanazaa mazao kupita ilivyotarajiwa, huku wakitumia nafasi hiyo sio tuu kulisha jamii, bali kuzungumza kuhusu machungu waliyoyapitia na hapo kuponya nafsi zao. Esther Kahumbi anatuletea taarifa hiyo katika makala ya leo ya Maisha Peupe
Maisha Peupe 13.02.11
Living
By | 14 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- List: transferred DCI officers and their posts
- A talk with Kibra's MP: From a shack to the Houses of Parliament
- Cocktail bar: Nyati M-Smart
- Matakwa Ya Walimu
- Six signs you are in an abusive relationship
- My child's ear has pus coming out of it
- Kenyan girl joins prestigious council of international award
- Namibia's women in power: A new dawn of leadership
- From zero in 2013 to seven governors, women prove their mettle in election
- #MCM: Ivara Esege, supportive husband to Chimamanda Ngozi Adichie
.
Popular this week
- TikTok stars Kristy and Desmond Scott file for divorce after 11 years of marriage
- Remove false eyelashes at home with these hacks
- Boost immunity and skin health with Vitamin C-rich foods
- Is it me, or is everyone I date allergic to commitment?
- My new habits never stick, what am I doing wrong?
- Five factors to consider before dyeing your hair
- Easy recipe: Blueberry and strawberry cake
- Coder who turned civic frustration into global recognition
- Here is a list of married Kenyan celebrity couples that do not have kids
- List: transferred DCI officers and their posts
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.